Mhubiri 6 : 12 Ecclesiastes chapter 6 verse 12

Swahili English Translation

Mhubiri 6:12

Kwa maana ni nani ajuaye yaliyo mema ya mwanadamu katika maisha yake, siku zote za maisha yake ya ubatili, anayoishi kama kivuli? Kwa maana ni nani awezaye kumweleza mwanadamu mambo yatakayofuata baada yake chini ya jua?
soma Mlango wa 6

Ecclesiastes 6:12

For who knows what is good for man in life, all the days of his vain life which he spends like a shadow? For who can tell a man what will be after him under the sun?